Watu wawili wamefariki duniani baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua kubwa iliyonyesha siku ya jana katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma ACP James Manyama amethibitisha vifo hivyo na kueleza kuwa mmoja kati ya waliokutwa na mauti ni Kijana aliyefahamika kwa jina la Yassin Khalifan mwenye umri wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed